Jumapili, 1 Novemba 2015





UJUMBE: JINSI YA KUULINDA MUUJIZA WAKO
MNENAJI: ASK. MWAYAHILA

Alianza kwa kueleza vile alivyokuta huduma ambapo anasema, "...sikuamini kuona Ask. Manase akifanya ibada na watoto wadogo... lakini kutokea huko sasa kuna Mji wa Bwana...Nao utaendelea kukua na kupendeza zaidi na zaidi..." hivyo alisisitiza kuwa ni vema muujiza ukatunzwa na ukalindwa kwa uaminifu!

KUMBUKUMBU 28:1

1. SHIKA NENO NA AHADI ZAKE

2. SIKILIZA SAUTI YA MUNGU NA UTENDE YOTE YALIYOANDIKWA KWENYE TORATI.
    ***USIJICHANGANYE NA MAMBO YA DUNIA: UWE MWAMINIFU KWA MUNGU
    (kutoka 15:26)

3. WEKA AHADI NA MUNGU NA UWE MWAMINIFU
     Zaburi 126:5 "wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha"


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...