.JPG)
Askofu Manase akimkaribisha Mch Mama Cecilia Mgweno kwa ajili ya Neno la Mungu katika Ibada ya jumapili 21/7/2013 kanisani ECWC.
.JPG)
Waumini wakiwa katika kipindi cha maombi , Hakika Roho mtakatifu aliwahudumia Watu.
Mch Mama Cecilia Mgweno akihubiri , alisema " iko nguvu itendayo kazi ndani yetu nayo ni nguvu ya Mungu "
.JPG)
Waumini wakisiliza neno la Mungu
.JPG)
Mch Mama Cecilia Mgweno alipohubiri alisema " zako nguvu za aina tatu iko nguvu ya kibinadamu, iko nguvu ya shetani na iko nguvu ya Mungu ambayo yapita akili zetu na fahamu kuitambuai."
Sunday School
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni