Jumapili, 13 Desemba 2015

SIKU TATU ZA MKESHA WA MAOMBI ECWC-MJI WA BWANA


PIA,  UNGANA NASI KATIKA MAOMBI YA KUFUNGA SIKU 21 KUANZIA TAR. 12/12/2015 MPAKA 1/1/2016

MAANDIKO NA MADOKEZO YA MAOMBI YA KUSIMAMIA:
ZABURI 24:1-8
                20:1, 23:1-6, 45: 1-21
1. Mungu asimame kwa ghadhabu yake mwenyewe katika maisha yako
2. Mungu akuongoze kwa yaliyo mema ili uwe sauti ya kuwavuta walio wengi,
3. Bwana asimame na kila shimo lililochimbwa na adui kwa ajili ya walinzi wa Madhabahu
4. Kuziba kila Mifuko iliyotoboka..., ghala zako.
5. Mungu akupe Kibali, neema, hekima, Afya na Maongezeko katika familia, taifa na.........

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...