Jumatano, 27 Agosti 2014

SIKU YA KWANZA YA KONGAMANO LA WANAWAKE KANISA LA ELIM PENTEKOSTE JIMBO LA MASHARIKI NA PWANI (26 - 29/08/2014). KONGAMANO LINAFANYIKA CHALINZE.

Madhabahu





Katibu wa Jimbo la Mashariki na Pwani, Mch. Jarome, A. akitambulisha na kukaribisha wageni wote waliohudhuria katika kongamano hilo.

Askofu wa Jimbo la Mashariki na Pwani, Ask. Manase, D.M. akifundisha.

Secilia Mgweno akifundisha.



Mama Ask. Washira akifundisha.

Washiriki katika kongamano hilo (wanaume wanaoonekana kwa karibu katika picha hapo juu ni baadhi ya wachungaji waliohudhuria kongamano hilo la wanawake)

Mwalimu kutoka Kenya alifundisha

Mch. Tito Tunda akifundisha 




Chakula cha mwili kipo tena kizuri na cha kutosha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...