Jumatano, 24 Julai 2013

ASKOFU MANASE BM KATIKA IBADA YA JUMAPILI 21.07.2013 YA KUJAZWA UPYA NGUVU ZA MUNGU KATIKA KANISA LA ECWC



Askofu Manase akimkaribisha Mch Mama Cecilia Mgweno kwa ajili ya Neno la Mungu katika Ibada ya jumapili 21/7/2013 kanisani ECWC.
Waumini wakiwa katika kipindi cha maombi , Hakika Roho mtakatifu aliwahudumia Watu.


Mch Mama Cecilia Mgweno akihubiri , alisema " iko nguvu itendayo kazi ndani yetu nayo ni nguvu ya Mungu "



Waumini wakisiliza neno la Mungu






Mch Mama Cecilia Mgweno alipohubiri alisema " zako nguvu za aina tatu iko nguvu ya kibinadamu, iko nguvu ya shetani na iko nguvu ya Mungu ambayo yapita akili zetu na fahamu kuitambuai."



Sunday School



















Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...