Alhamisi, 4 Julai 2013

TB JOSHUA: KUWA KAMA VILE MUNGU AMEKUITA

Kila siku ni siku mpya na ni mwanzo mzuri hapa SCOAN. Ibada ya Jumapili ya tarehe 30.06.2013 tumeshuhudiwa watu waliokuwa na roho za mapepo wakikombolewa. Kitu cha kushangaza na kustajabisha kulikuwa na ukombozi wa ajabu sana kwa kijana aliyetoka mbali sana huko Limpopo Afrika Kusini. Kijana huyu aliweza kuvuruga ibada ya maombezi iliyokuwa ikendeshwa na Nabii T.B Joshua ambapo alionekana na kujitokeza karibu na altare, na kuweza kuvua suti yake na kufungua vifungo vya shati, akiwa na nguvu za kupambana kivita. Kijana huyu hakuweza kujua ya kwamba vita vyetu si vya mwili bali ni vya kiroho. Alikuwa akionysha alama za mapepo mbele ya kichwa chake (paa la uso) , akaanza kuimba nyimbo za kuleta nguvu za giza za mapepo, na Nabii T.B Joshua alianza kuomba kwaajili ya kukombolewa na akatangaza kuwa kutakuwa na ukombozi.
Image
Nabii T.B Joshua alipomuuliza mtu mmoja, nini tatizo lake, alisisitiza ya kuwa alitumwa kutoka katika ufalme wa giza ili kuharibu kazi ya Mungu inayofanywa na Naboo T.B Joshua. Na mwisho ufalme wa giza ulivunjwa na kuuwawa na kuleta ufalme wa Mwanga wa yesu Kristo duniani kote

-----------------------------------------------------------------------------------------------
BE ALL GOD HAS CALLED YOU

Every day is a new dawn and a new beginning at The SCOAN. The Sunday Service of June 30, 2013 witnessed the extraordinary deliverances of those possessed by demonic spirits. Most spectacular was the melodramatic deliverance of a young man who came all the way from the Limpopo Province of South Africa. The lean-looking man interrupted the mass prayer ministration of Prophet T.B. Joshua as he boldly positioned himself in a strategic point near the altar, threw off his suit and unbuttoned his shirt, bracing up for combat. Little did he know that as children of God, our combat is not physical but spiritual. Making a demonic sign above his forehead, he started some incantations and as Prophet T.B. Joshua prayed for breakthrough, he defiantly pronounced that there would be no breakthrough!

When the Prophet asked the man what his problem was, he insisted that he had been sent from the kingdom of darkness to halt the work of God manifesting through the faculties of the man of God, Prophet T.B. Joshua. At the end of the encounter, the kingdom of darkness was dethroned, proving superiority of the kingdom of Light and the majesty of Jesus Christ over all the earth.

Testimonies of healing and deliverance through the use of the Anointing Water, Anointing Sticker and Emmanuel TV respectively, continue to pour in, as we read from the accounts that follow.

FIBROIDS DISAPPEAR AFTER MINISTERING ANOINTING WATER


Mrs Vera Igberasu, Edo, Nigeria, came with the problem of multiple fibroids to The SCOAN. They caused her severe pain in her lower abdomen and she was unable to conceive. Doctors said that she could not become pregnant unless she underwent operation to remove the fibroids. She decided to try alternative medicine but it did not help her situation.

She was privileged to receive the Anointing Water which she ministered to herself in the name of Jesus. She immediately began to experience a tremendous pressure in her womb which lasted for three hours, after which she began to feel calm and the pain completely ceased.

She went back to the doctors for reexamination and the scan showed that she no longer had any trace of the fibroids. She was then able to conceive and is happily pregnant, which had been her expectation for many years. She advised that when you put your trust in God, your pain will be taken away.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...