Jumatano, 31 Julai 2013

SEMINA YA REHOBOTH YAFANA SIKU YA IJUMAA 27 - JUMAPILI 30/07/201330




Askofu Manase alifundisha na kusema Bwana amemaanisha kukupatia wewe NAFASI , haijalishi itakuwa kwa njia gani lakini ni LAZIMA Bwana akupatie NAFASI. Bwana anasema ni LAZIMA watesi Wako waondoke kwenye njia yako. Na hapo ndipo watakapoulizana ni nani huyo aliyektendea haya.


Askofu Manase alifundisha na kusema Bwana anapokufanyia NAFASI anakomesha vita iliyodhidi yako. Bwana alimwambia Ibrahimu amtoe Isaka kama sadaka.Kwa utayari wa  Ibrahimu ndipo hapo Mungu alivyomfanyia NAFASI kwa kumwambia geuka na mara akamuona kondoo aliyetayarishwa na Bwana mwenyewe, na vivyo hivyo Bwana atakufanyia mlango wa kutokea katika kazi yako, biashara yako na familia yako



Askofu Manase akihubiri Leo katika semina ya siku tatu iliyoanza leo ijumaa katika kanisa la ECWC Ilala Bungoni.Alisema ni wakati wa Bwana kuwafanyia Watu wake NAFASI wakati dunia inawayawaya.Mwanzo 26:12 - 23..... Akakiita Jina lake Rehoboth akasema kwa kuwa sasa Bwana ametufanyia NAFASI, nasi tutazidi katika nchi



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...