Alhamisi, 4 Julai 2013

ASKOFU MANASE KATIKA IBADA YA JUMAPILI

Tunamshukuru sana Mungu kwa wema wake. Jumapili hii ilikuwa ni jumapili ya kipekee sana kwetu. watu waliweza kubarikiwa sana. Tumeona watu wakishuhudia yale Mungu amegfanya katika maisha yao.

Askofu Manase akihudumu katika moja ya ibada kanisani siku Jumapili

Baadhi ya waumini wakifanya maombezi wakati wa ibada

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...