Alhamisi, 29 Agosti 2013

KONGAMANO LA WANAWAKE JIMBO LA MASHARIKI NA PWANI 28-31/08/2013 CHALINZE, MKOA WA PWANI. THEME: ENEMY KINGS AND THEIR ARMIES FLEE WHILE WOMEN DIVIDE THE PLUNDER. PSALMS 68:12

Mrs. Margreth Washira kutoka Nairobi, Kenya na Mwl. Sauna Joshua kutoka Morogoro (Wahubiri)

Katibu wa jimbo KEPT, Rev. Jarome Andrea

 Askofu Manase, D.M. akiwaombea watu wakati wa ibada ya Revival.

Mama Gwasa akieleza kuhusu ujasilia mali.

 Washiriki wa kongamano wakisikiliza neno la Mungu wakati wa ibada ya Revival

 kutoka kulia ni Mama Letiva akisoma neno la Mungu wakati Mwl. Sauna akifundisha kuhusu mwanamke na uchumi

kutoka kushoto ni Mch. Tito Tunda (Mujumbe wa Halmashauri Kuu, KEPT) na Mch. Jarome (Katibu, KEPT)
kutoka kushoto ni Askofu Manase, D.M., Mama Askofu Manase, Mama Askofu Mgweno na mwenyekiti wa wamama Kanisa la Elim Pentekoste Tanzania.
Mwl. Saunna Joshua akifundisha somo la Mwanamke na Uchumi.  

MWANAMKE NA UCHUMI
-pambana kuuondoa ujinga.
-ujinga hauondoki kwa kunena kwa lugha au maombi ila ni kwa kutafuta maarifa.
-penda kujifunza na kuchukua hatua. Usiogope kumuomba anayejua jambo zuri akufundishe.
-tumia wakati vizuri/komboa wakati
Mithali 28/20
 -uwe mwaminifu katika kazi ya mikono yako. Usiwe muongo...











































Mama Askofu Secilia Mgweno akifundisha kuhusu Ufahamu wa Kiroho
Viongozi wa wamama kanisa la Elim Pentekoste jimbo la Mashariki na Pwani (kutoka kushoto ni mwenyekiti, katibu na mtunza hazina)
Askofu Manase, D.M. akifungua kongamano la wanawake jimbo la Mashariki na Pwani.


TUTATEKA NYARA
-mwanamke ndiye anayejenga.
-wanawake wanakwenda kujenga mara baada ya kujengwa kiufahamu wa kiroho kutokea katika kongamano hili.
-maisha ya mtu sio kule anakotoka ila anakokwenda...
-MATH 20/20
-wanawake wengi huwa na shauku na maisha yajayo kuliko baba. Mf. Baba anaweza kupata mshahara na kuumalizia kilabuni lakini mama atafikiri sana  kuhusu mahitaji ya familia. Hivyo, hitaji kubwa la mama ni watoto wake waishi salama katika siku zijazo…kwa hili mlilolifanya ni kujenga kizazi kijacho kufanikiwa kiroho na kimwili katika jina la YESU.
2timotheo 1/5…nikikumbuka imani uliyonayo, tena isiyo na unafiki…
(unakaribishwa sana katika kongamano hili. utajifunza mengi ya kukusaidia wewe, familia yako na vizazi vijavyo kwa utukufu wa jina la YESU) 

THEME: ENEMY KINGS AND THEIR ARMIES FLEE WHILE WOMEN DIVIDE THE PLUNDER. PSALMS 68:12

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...