Jumamosi, 31 Agosti 2013

NI SIKU YA PILI TANGU KUANZA KWA KONGAMANO LA WANAWAKE WA KANISA LA ELIM PENTEKOSTE TANZANIA (KEPT) JIMBO LA MASHARIKI NA PWANI. HUKU MAMBO NI FURAHA NA KUJIFUNZA MENGI. KARIBUNI SANA!!

Mrs. Magreth Washira akifundisha athari za kuzungumza pasipo sababu za msingi katika jamii/familia. aliwafundisha kwa kutumia mfano wa kunywa maji kujizuia kuzungumza yasiyolazima ili kuokoa ndoa za watu wengi zinazovunjika kwa kuzungumza sana.


sifa zikavuma na wachungaji hawakuweza kuketi, wakasimama kama wanavyoonekana hapo juu wakimchezea na kumwimbia Mungu.


wamama wachungaji wakiongoza kipindi cha kusifu na kuabudu nyakati za jioni.


wamama wachungaji wakiongoza kipindi cha kusifu na kuabudu nyakati za jioni.


wamama wachungaji wakiongoza kipindi cha kusifu na kuabudu nyakati za jioni.


wamama wachungaji wakiongoza kipindi cha kusifu na kuabudu nyakati za jioni. Hapa sifa ikapendeza, kila mtu alicheza namna Roho wa Mungu alivyomuongoza. ilikuwa raha sana kuona watumishi wa Mungu hawa wakimtukuza Mungu namna hii.


kutoka kulia ni Mwimbaji wa Sifa na Kuabu (Mhuville Humphrey) na Mwenyekiti wa Wanawake Tanzania, KEPT (Sifa Mgweno)


Waimbaji wa sifa na Kuabudu (kutoka kulia ni Tito Mgweno na Mhuville Humphrey)


sifa ikazidi kuwa nzuri maana hata watoto nao hawakuona sababu ya kuketi wakati wazazi wao wanamsifu Mungu aletae Furaha na Amani katikati ya kusanyiko hilo.


Askofu wa Jimbo la Mashariki na Pwani, Askofu Manase, D.M akiwa na mke wake wakimsifu Mungu.






Mchungaji Tito Tunda akifundisha kuhusu umuhimu wa kulifahamu neno la Mungu kufanikiwa kiroho na kimwili.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...