Ijumaa, 30 Agosti 2013

MUNGU AWEZA KUFUNGUA VIFUNGO VYAKO. HII NI IBADA YA JUMAPILI 25.08.2013



Haijalishi umekuwa katika vifungo vya mateso kwa Muda gani lakini Bwana anasema baada ya hayo yote yakupatayo Ni LAZIMA ITENDEKE KWAKO

SUNDAY SCHOOL Ni baadhi ya watoto wa shule ya Jumapili ECWC Ilala Bungoni wakisema mistari ya Biblia waliyojifunza kwa kuikariri ( Aja kwa Moyo) ilikuwa ni ya kupendeza kuona watoto wakilijuwa Neno la Mungu katika umri huu mdogo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...