Ijumaa, 30 Agosti 2013

MKUTANO MKUBWA WA INJILI TANZANIA KUANZA RASMI 21.08.2013



TANZANIA KWA YESU!!!! Hayawi hayawi sasa yamekuwa lile kusanyiko kuu la Mkutano mkubwa wa Injili kwa mwaka 2013 hapa Tanzania sasa utaanza rasmi siku ya jumatano tarehe 21/8/2013 katakana viwanja vilivyo jirani na uwanja mkuu wa Taifa.

TANZANIA KWA YESU. Pichani ni wanakikundi cha maombi kwa ajili ya mkutano huo mkubwa wakifanya maombi na kuuweka wakfu uwanja utakotumika kwa ajili ya mkutano.

TANZANIA KWA YESU. Pichani ni watumishi wa Mungu toka makanisa mbalimbali wakiwa na viongozi wa Zone zao wakipeana maelekezo na mikakati ili kuhakikisha wanawahudumia Watu watakaofika kwenye mkutano. Hakika ni maumivu makali kwa shetani


YESU AUNGURUMA Ule Mkutano mkubwa wa Injili umeanza kwa kishindo siku ya leo alhamisi kama Inavyoonekana pichani kwaumati mkubwa wa watu kujitokeka kusikiliza neon la Mungu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...